
katika hafla hiyo ambayo imehudhuriwa na viongozi mbali Mbali wa chama na serikali pamoja na dini
wamemwelezea katibu Jamal khimji kama mtu aliyekuwa kiunganishi muhimu kwa wanaarusha hakuwa na makundi wala uchonganishi
Akizungumza kwaniaba ya vijana wa Arusha mwkt wa UVCCM Arusha mjini Ndg.Martin Munisi amemwelezea ktb khimji kama kiunganishi na aliyekuwa mchapa kazi ambaye hakuwa mwongo wala hakuwa mtu wa makundi alifanya kazi za jumuia kwa mujibu wa katiba na kanuni za UVCCM na CCM tunamtakia kila la kheri huko aendako
Mwkt wa CCM wilaya ya Arusha mjini Dr.Soileli amemtaka Khimji kwenda kuendeleza yale mema aliyo kuwa anayatenda Arusha
katibu wa UWT mkoa Fatma Hassan amemtaka ktb mgeni kumuiga khimji maana khimji alikuwa anawatetea machinga wa Arusha na wamama waliyo kuwa wananyanyaswa na mgambo wa jiji
naye katibu wa wazazi amemtaka khimji kwenda kutenda kama alivyo kuwa anatenda Arusha huku akimtaka katibu mgeni kuishi kwa amani kama alivyowakuta wanaarusha wakiishi kama ndugu bila mafarakano
akitoa neno la shukrani katibu jamali amewashukuru vijana wa Arusha kwa ushirikiano waliyo mpa na alipokuwa akitekeleza majukumu yake yakila siku
katibu jamal anahamia Dodoma akimkabidhi ndugu Idd Mtopa aliyehama kutoka Kilosa na kuhamia Arusha mjini
Imetolewa na
Afisa habari wilaya ya Arusha mjini S .Abdul
leo tar 17.6.2016
wamemwelezea katibu Jamal khimji kama mtu aliyekuwa kiunganishi muhimu kwa wanaarusha hakuwa na makundi wala uchonganishi
Akizungumza kwaniaba ya vijana wa Arusha mwkt wa UVCCM Arusha mjini Ndg.Martin Munisi amemwelezea ktb khimji kama kiunganishi na aliyekuwa mchapa kazi ambaye hakuwa mwongo wala hakuwa mtu wa makundi alifanya kazi za jumuia kwa mujibu wa katiba na kanuni za UVCCM na CCM tunamtakia kila la kheri huko aendako
Mwkt wa CCM wilaya ya Arusha mjini Dr.Soileli amemtaka Khimji kwenda kuendeleza yale mema aliyo kuwa anayatenda Arusha
katibu wa UWT mkoa Fatma Hassan amemtaka ktb mgeni kumuiga khimji maana khimji alikuwa anawatetea machinga wa Arusha na wamama waliyo kuwa wananyanyaswa na mgambo wa jiji
naye katibu wa wazazi amemtaka khimji kwenda kutenda kama alivyo kuwa anatenda Arusha huku akimtaka katibu mgeni kuishi kwa amani kama alivyowakuta wanaarusha wakiishi kama ndugu bila mafarakano
akitoa neno la shukrani katibu jamali amewashukuru vijana wa Arusha kwa ushirikiano waliyo mpa na alipokuwa akitekeleza majukumu yake yakila siku
katibu jamal anahamia Dodoma akimkabidhi ndugu Idd Mtopa aliyehama kutoka Kilosa na kuhamia Arusha mjini
Imetolewa na
Afisa habari wilaya ya Arusha mjini S .Abdul
leo tar 17.6.2016
