» » Sukari ya Malawi kusambazwa Mbeya

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Mbeya. Zaidi ya tani 1,150 za sukari zinatarajia kuingia mkoani Mbeya kuanzia leo kutoka nchini Malawi kwa lengo la kupunguza uhaba wa bidhaa hiyo.

Hayo yamesemwa na  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa mkoani hapa katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Vijijini, kwa lengo la kusikiliza  kero zao.

Amesema tayari kuna magari 30 yapo njiani yanatokea nchini Malawi ambayo kila moja lina tani 34 za sukari na  muda wowote yataingia mkoani hapa.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post