» » Rich Mavoko: Diamond anapromote kazi za wasanii wake kuliko hata zake mwenyewe (Video)

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Kwa mujibu wa Rich Mavoko, Diamond ni msanii mwenye moyo wa pekee.

Mavoko anadai kuwa bosi wake huyo hupigia debe kazi za wasanii wa label yake kuliko hata zake mwenyewe.

“Sisi huwa tunapanga strategy nzuri kabisa ya promotion kabla ya kutoa nyimbo akiwemo Diamond mwenyewe anakuwa mstari wa mbele sana kwa sisi. Mpaka sometimes mameneja wanamuambia ‘mbona wewe unakuwa mstari wa mbele sana kwenye kazi za wenzako.’ Lakini nafikiri ni moyo wa kujitolea kwamba anaamini alipofika mtu yoyote anaweza akafika kama akijituma,” Mavoko ameiambia Bongo5.
 
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post