Kwa mujibu wa Rich Mavoko, Diamond ni msanii mwenye moyo wa pekee.
Mavoko anadai kuwa bosi wake huyo hupigia debe kazi za wasanii wa label yake kuliko hata zake mwenyewe.
“Sisi huwa tunapanga strategy nzuri kabisa ya promotion kabla ya kutoa nyimbo akiwemo Diamond mwenyewe anakuwa mstari wa mbele sana kwa sisi. Mpaka sometimes mameneja wanamuambia ‘mbona wewe unakuwa mstari wa mbele sana kwenye kazi za wenzako.’ Lakini nafikiri ni moyo wa kujitolea kwamba anaamini alipofika mtu yoyote anaweza akafika kama akijituma,” Mavoko ameiambia Bongo5.
Mavoko anadai kuwa bosi wake huyo hupigia debe kazi za wasanii wa label yake kuliko hata zake mwenyewe.
“Sisi huwa tunapanga strategy nzuri kabisa ya promotion kabla ya kutoa nyimbo akiwemo Diamond mwenyewe anakuwa mstari wa mbele sana kwa sisi. Mpaka sometimes mameneja wanamuambia ‘mbona wewe unakuwa mstari wa mbele sana kwenye kazi za wenzako.’ Lakini nafikiri ni moyo wa kujitolea kwamba anaamini alipofika mtu yoyote anaweza akafika kama akijituma,” Mavoko ameiambia Bongo5.
