Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema.
Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema amteua mwanaye wa kwanza wa kiume, Teodoro ‘Teodorin’ Nguema Obiang Mangue kuwa Makamu wa Rais wa nchi hiyo.
Teodoro Obiang Nguema na familia ya rais Obama.
Teodorin alikuwa Makamu wa Pili wa rais wa awamu iliyopita nchini humo, ambapo cheyo hicho cha Makamu wa Pili wa Rais, sasa kimefutwa kwenye uongozi mpya wa rais Obiang’.

