» » Rais amteua mwanaye kuwa Makamu wa Rais

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema.

Equatorial Guinea
Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema amteua mwanaye wa kwanza wa kiume, Teodoro ‘Teodorin’ Nguema Obiang Mangue kuwa Makamu wa Rais wa nchi hiyo.

Teodoro Obiang Nguema na familia ya rais Obama.

Mtoto huyo pia ndiye atakua Msimamizi Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Usalama wa Taifa hilo. Uteuzi huu unafuatia ushindi wa kishindo wa 93.7% katika Uchaguzi Mkuu wa Urais uliofanyika Aprili 24, mwaka huu.

Teodorin alikuwa Makamu wa Pili wa rais wa awamu iliyopita nchini humo, ambapo cheyo hicho cha Makamu wa Pili wa Rais, sasa kimefutwa kwenye uongozi mpya wa rais Obiang’.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post