Marekani
Alifanikiwa kupata nafasi akaelekea chuo cha Hawaii, ambapo alikutana na mamake rais Obama, Ann Dunham ambapo mtoto wao Rais Obama alizaliwa mwaka 1961.
Barua alizoandika kutoka mwaka 1958 hadi mwaka 1964 wakati alirejea nchini Kenya, zilipatikana katika kumbukumbu katika kituo cha Schomburg eneo la Harlem mjini New York mwaka 2013 lakini ni wiki hii tu barua hizo zimefichuliwa.
