» » Picha: Naibu Spika, wabunge waserebuka kwenye show ya Lady Jaydee Dodoma

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
Naibu Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, wikiendi iliyomalizika aliunga wabunge wengine pamoja wapenzi wa muziki kwenye show ya Lady Jaydee ya Naamka Tena Tour mjini Dodoma.
Show hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa Royal Village huku pia Mkuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Alvaro Rodriguez akihudhuria.





 Mbunge wa Afrika Mashariki, Shyrose Bhanji akizungumza na Alvaro Rodriguez

Kwenye show hiyo Lady Jaydee alitumbuiza pamoja na bendi yake.






 Lady Jaydee akiwa kazini




ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post