» » Museven ajitetea kuteua wapinzani

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Entebbe. Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema amechagua wapinzani kwenye baraza lake la mawaziri kwa sababu ya kuimarisha  umoja wa kisiasa nchini humo.

Alisema katika baraza lake ambalo lina mawaziri 81, ameona ni bora ateue na wapinzani ili kuimarisha umoja ambao umetoweka nchini humo kwa muda mrefu.

Kiongozi huyo wa Uganda, alimchagua Beti Kamya  kuwa Waziri wa Kampala kutoka    Uganda Federal Alliance pia alimchagua  Betty Amongi  wa Uganda Peoples Congress kuwa Waziri wa Ardhi na  Florence Nakiwala  wa Democratic Party kuwa Waziri wa Vijana.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post