» » Mume auawa, kisa wivu wa mapenzi

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Mkazi wa Kijiji cha Buhama wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza, anadaiwa kumuua mumewe, Ndimila Lupogosha kutokana na wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema jana kuwa tukio hilo lilitokea Juni 15 saa 8:20 mchana wakati mtuhumiwa na mumewe, wakinywa pombe.

Alisema chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa mapenzi baada ya mtuhumiwa kumuona mumewe akizungumza na mwanamke mwingine.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post