» » Mtemi wa Wasukuma afariki dunia

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Mteni wa kabila la Wasukuma wilayani hapa Mkoa wa Mwanza, John Nyanza (70), amefariki dunia.

Katibu wa Umoja wa Watemi wa Usukuma, Charles Itale, amesema jana kuwa mtemi huyo alifariki dunia Juni 15, mwaka huu  majira ya alfajiri kwa ugonjwa wa saratani.

 “Mtemi mwenzetu alifariki dunia katikati ya wiki iliyopita wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC),” amesema Itale.

Utemi wa Usukuma ambao makao makuu yake yapo Bujora, unaundwa na mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mwanza.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post