» » Breaking News: Basi la NBS latapa ajali mbaya Gairo

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Basi la NBS linalotoka DAR kwenda TABORA limepata ajali mbaya maeneo ya Gairo, inasemekana kunawatu wamelaliwa na Basi hilo na mpaka sasa haijajulikana watu wangapi wamefariki Dunia na waliojeruliwa..

Tunaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu zaidi na tutakujuza mdua sio mrefu kila kitakacho jili..




ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post