» » MREMBO TUNDA AYIA AIBU KALI

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


DAR ES SALAAM: Video queen matata Bongo ambaye ni mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva, David Genzi, Tunda Sabasita hivi karibuni alitupia video kwenye ukurasa wake wa Instagram, akitamka maneno ambayo watu walimshangaa na kudai kuwa anatia aibu.

Mrembo huyo ambaye alitupia video hiyo akiwa kwenye jakuzi na Mtangazaji wa Radio Choice FM, Gifty Stanford ‘Gigy Money’ wakati akiogelea, alitoa kichwa kwenye maji na kuanza kuelezea kuwa hakuna kitu kilichomkera kama jakuzi hilo kuwa na maji meupe badala ya bluu ambayo huwa akitoa haja ndogo haionekani.

Baada ya kupewa za uso na watu walioiona video hiyo, Wikienda lilimwendea hewani Tunda ambapo alisisitiza kuwa alichoongea ni kweli kabisa na hata siyo yeye peke yake bali ni watu wengi wanapenda kufanya hivyo kwa hiyo wasimshangae.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post