» » Mashirika ya habari yafunga matangazo DRC

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Mashirika kadha ya habari nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo, yamesitisha matangazo yao kama njia ya kupinga kupanda kwa gharama ya Intenet inayotumiwa na simu za mkononi.

Simu za mkononi ndio hutumiwa na watu wengi zaidi kwa huduma ya internet nchini humo.
Baadhi ya watoa huduma ya mawasiliano ya simu wameongeza malipo kwa hadi zaidi ya asilimia 500 mwezi uliopita.

Chama cha mashirika ya habari nchini humo, kinasema kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa haki ya watu kupata habari.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post