» » » Kocha wa Dibaba akamatwa

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Mwanariadha Genzebe Dibaba

Kocha wa wanawake wanaokimbia mita 1500, msomali Jama Aden ambaye ni kocha wa mkimbiaji Nyota wa Ethiopia Genzebe Dibaba ametiwa nguvuni na vikosi vinavyofanya msako dhidi ya wanaotumia dawa za kusisimua misuli michezoni.

Jama Aden amekamatwa baada ya Polisi kuvamia chumba chake cha Hotel huko Sabadell, Kasikazini mwa Barcelona,Spain wakidai kuwa amekuwa akiwaelekeza wachezaji kutumia madawa yaliyozuiliwa michezoni.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post