» » AUDIO: Wananchi Wamempeleka Polisi Mama wa Mtoto Kisa Mtoto ni Mwarabu

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

June 20 2016  Geah Habib kupitia Hekaheka ya Clouds FM  ametuletea Hekaheka kutokea Buguruni Dar es salam ambapo mama amepelekwa polisi na wananchi kisa mtoto anayedaiwa kuwa ni wa kwake ni mwarabu.

Mama alifika maeneo hayo nyakati za usiku na watu wakawa na mashaka naye wakamwambia aende kwa mjumbe……..

’Shida yake yeye ni kwamba anamuhitaji ndugu yake alikuwa bungoni lakini alipofika alikuwa ameshahama na kuna ndugu zake wengine akaomba kulala kwa sababu hawezi kufika mbezi kwa usiku huo, nikamwambia twende kituo cha polisi hapo zogo ndio likaanza’:-Mjumbe

kwa nini mnakuwa washamba hapa Dar es salaam hamna watu waliozaa na wahindi au waarabu mpaka mnakuja kunishangaa mimi, hapa nishaadhalilishwa sana kwa hiyo twende polisi nikamshtaki aliyenidhalilisha‘:-Mama wa mtoto

Unaweza kusikiliza kwa kubonyeza play hapa chini:

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post