ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
Mponjoli Rodson Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita
Mkazi huyo anatuhumiwa kufanya mauaji hayo kwa kumkata kata kwa kitu
chenye ncha kali na kutenganisha kichwa na kiwiliwili chake na kisha
kutoweka na kichwa chake June 8 saa nne za usiku kabla ya kichwa hicho
kupatikana juzi na watuhumiwa tayari wanashikiliwa na polisi.
Kamanda Mponjoli Rodson amefafanua kuwa kichwa cha marehemu Kweji
kilipatikana juzi kikiwa kimetelekezwa huku akitoa rai kwa jamii kuacha
vitendo vya kujichukulia sheria mikononi.
Mponjoli Rodson Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita anazungumzia tukio hilo la kikatili wa aina yake, Msikilize hapa:-
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO