» » Afa maji wakati akitafuta simu

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi. 
Mkazi mmoja mkoani Mwanza, Mshambuzia Bishanga amefariki dunia wakati akijaribu kuopoa simu yake ya mkononi iliyokuwa imezama Ziwa Victoria.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema jana kuwa tukio hilo lilitokea Juni 15 saa 6.38 mchana eneo la Mwaloni, Kata ya Kirumba wilayani Ilemela baada ya simu yake kudondokea majini.

“Baada ya kudondosha simu, akiwa hapo mwaloni aliamua kuingia majini kuitafuta, lakini maji yalimzidi nguvu na kushindwa kujiokoa,” alisema Msangi.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post