ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako amevunja
Bodi ya Tume ya Vyuo Vikuu nchini Tanzania (TCU) kufuatia Tume hiyo
kupitisha majina ya wanafunzi 486 wasio na sifa kusomea Shahada ya
Elimu.
Pia, Waziri Ndalichako amewasimamisha kazi Maofisa kadhaa waandamizi wa
TCU kwa kushindwa kusimamia na kutekeleza vyema wajibu wa TCU na
kuwateua Makaimu wa nafasi za waliosimamishwa.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO