» » Msigwa: Serikali na Wabunge 250 Kuogopa Hotuba ya Kurasa 30 Hawawezi Kuongoza nchi

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


''Serikali imepewa mamlaka ya kuongoza nchi na inajinadi bungeni kuwa wanaongoza vizuri na wapinzani nao wanakuja kuwarekebisha kuwa hoja zao haziwezekani , sasa serikali inayosema 'hapa kazi' inayoungwa mkono na wabunge 250 wa chama cha mapinduzi inashindwa kujibu hotuba ya kurasa 34, inataka kuwaambia nini watanzania?

Je, mpo matured kuiongoza serikali? Njooni na hoja muonyeshe udhaifu wa upinzani uko wapi, muwashawishi watanzania kuwa kweli mnaweza kuongoza lakini hamuwezi kukabiliana na hoja mnaweka mpira kwapani mnataka msaidiwe na refa ,are you fit to lead this country?

Nani asiyejua mizengwe ya nyumba zilizouzwa nchi hii? nani asiyejua nchii hii ina mikataba mibovu?''

''Huyu Rais mwema ambaye anatakiwa kushangiliwa kama King Kanuti, hatakiwi kuguswa katika bunge hili?''

Msigwa anaendelea kuongea wabunge wengine wanazomea wengine wanashangilia chaos tupu.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post