» » Mikel Arteta kuondoka Arsenal majira haya ya joto

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO



Nahodha wa klabu ya Arsenal Mikel Arteta anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji watakao hama klabu hiyo majira haya ya joto.
Arteta pamoja na kiungo wa kati mwenzake Tomas Rosicky wanatarajiwa kuondoka baada ya mikataba yao kumalizika.
Arteta, 34, alijiunga na klabu hiyo 2011 na amecheza mechi 150 na kufunga mabao 17.
Rosicky, 35, alijiunga na Arsenal 2006 na ameicheichezea Gunners mechi 246 kipindi cha miaka 10 wakati wa mechi yake ya mwisho dhidi ya Aston Villa Jumapili.
34361FEC00000578-0-image-a-61_1463396029172
Arteta, aliyenunuliwa Everton kwa £10m, alionekana akitokwa na machozi baada ya mechi hiyo kumalizika.
Meneja Arsene Wenger amesema wachezaji hao wawili walikuwa wa kipekee.
3436EA3800000578-0-image-a-62_1463396031891


ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post