» » Hii ‘Aje’ ya Alikiba ni Kiboko- Mwana FA

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Msanii wa muziki wa bongo fleva Mwanafalsafa A.K.A Mwana FA amefunguka na kuonyesha hisia zake kuikubali kazi mpya ya msanii Alikiba ambayo inafahamika kwa jina la ‘Aje’

Mwana FA kupitia account yake ya twitter aliandika ujumbe wenye kuonyesha kuwa kazi hiyo ya msanii huyo ni kiboko na kusema amesikiliza mara nyingi sana lakini hajaweza kugundua kosa lolote lile kutokana na ngoma hiyo kuwa ni kali.

“hii aje ya kiba nyo*** bana, its perfect Wakazi. Ukiisikiliza mara nyingi kama mimi unakuwa na uwezo wa kuona makosa,Siyaoni hata kwa kuyasaka” Mwana FA

Mbali na Mwana FA msanii mwingine Wakazi pamoja na Shaa wameungana na Mwana FA na kusema kuwa wimbo huo ni kiboko na jinsi ulivyopangiliwa
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post