Alianza kuongelewa kwenye mitandao ya kijamii Tanzania baada ya video yake kusambaa akichangia bungeni kwenye bunge la bajeti Dodoma na kusema haoni sababu ya bunge kurushwa live lakini apia kauli yake nyingine iliyosambaa ni ile aliyosema anatamani hata kulia.
Baada ya hapo watu wakaitafuta CV yake na kuisambaza mitandaoni ikionyesha alianza Form One akiwa na miaka 30, amekuwa mkurugenzi wa kampuni ya Aggy Classic Entertainment bado akiwa ni mwanafunzi wa kidato cha pili, yote hayo ameyaona na anayajibu kwenye hii video hapa chini
Video:
