» » » AUDIO: Kauli ya Kwanza ya Mkwasa Baada ya Kumuita Cannavaro ‘Taifa Stars’

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO



Kocha wa timu ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ameeleza amejibu kwa nini amemuita Nadir Haroub Cannavaro katika kikosi licha ya staa huyo kutangaza kuwa amestaafu kuichezea Taifa Stars.

“Labda niseme tu mimi sijapata taarifa za yeye kujiuzulu timu ya taifa wala ofisi kunipa barua yoyote, mimi nimeona uzoefu wake bado unahitajika katika timu nimeona nimuite, kuhusu kustaafu lazima astaafu kwa heshima sio kienyeji tu hatuwezi kumfanyia hivyo”

Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nadir Haroub Cannavaro alitangaza kustaafu kucheza timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kuvuliwa unahodha pasipo taarifa rasmi na uongozi kumpatia nafasi hiyo Mbwana Samatta.


ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post