» »Unlabelled » Zawadi atakayopewa Miss Afrika 2016 kesho, Tanzania inawakilishwa na Julitha Kabette

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Muwakilishi wa Tanzania katika shindano la Miss Afrika 2016,  Julitha Kabette, kesho Jumamosi ya November 26 atapanda jukwaani na washiriki wengine 18 kuwania taji la Miss Afrika 2016 nchini Nigeria.


Mashindano hayo yatafanyika Nigeria katika jimbo la Cross River, mjini Calabar mshindi wa kwanza atapewa zawadi ya dola za Kimarekani 25,000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 5o pamoja na gari jipya.

img-20161125-wa0065

Mshindi  wa pili wa shindano la Miss Afrika 2016 atapata zawadi ya dola za Kimarekani 15,000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 30 na mshindi wa tatu  atapata dola 10,000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 20, Julitha Kabette amepata nafasi ya kushiriki mashindano hayo baada ya kuchaguliwa na kampuni ya Millen Magese  Group (MMG).
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post