» »Unlabelled » VIDEO Jinsi ya kusafisha Meno kwa Baking Soda

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Kwanza unachukua baking soda ile ya simba mbili yenye kiboski cha blue na red vijiko vya chai viwili maji ya ndimu kijiko kimoja au zaidi changanya mchanganyiko mzito utia kwenye mswaki nakutumia kama dawa ya meno. Tumia mara moja usiku au asubuhi for one week. Ili kuona Maendeleo ni vizr ukafanya Uphotographer kdg ukajipiga Picha za Before & After itakuwa vema zaid kujua maendeleo yako 

Note: Make sure ni baking soda na sio ile iliyoandikwa ama kuchorwa maandazi simba mbili


ANGALIA VIDEO HII..
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post