» »Unlabelled » Mwana FA azitaja nyimbo 3 bora kwenye Bongo Fleva mwaka huu

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Rapper Mwana FA aka Binamu amezitaja nyimbo zake tatu ambazo anazikubali kwa mwaka huu kutoka Bongo

Hitmaker huyo wa Asanteni alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “Nitajie ngoma tatu za kibongo ambazo ni bora kwako kwa mwaka huu toka uanze?”

FA alijibu swali hilo kwa kuandika, “Aje, Chafu Pozi na Too Much.”

Wiki iliyopita wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Campus Vibes cha Times FM, Binamu aliwataja Bill Nas na Darassa ndio rapper anaowakubali zaidi kwenye kizazi cha sasa.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post