» »Unlabelled » Watu zaidi ya bilioni mbili hatarini kuugua Zika

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Watu zaidi ya bilioni mbili wapo katika hatari ya kupata maambukizi ya virusi vya Zika.

Watu zaidi ya bilioni mbili wapo katika hatari ya kupata maambukizi kutokana na mlipuko wa virusi vya Zika katika sehemu ya bara la Afrika na Asia.

Idadi kubwa ya watu katika mataifa ya India, Indonesia na Nigeria ipo hatarini zaidi kupatwa na maambukizi ya Zika, wanasayansi wameeleza.

Hata hivyo, wanasayansi hao wamesema uwezekano wa kuwepo kwa kinga ya mwilini kwa watu waliokuwapo katika baadhi ya maeneo, kutapunguza hatari ya maambukizi ya Zika.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post