» »Unlabelled » Maneno ya Polisi Morogoro baada ya kumkamata Afande sele

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

msanii mkongwe wa Bongoflevani Afande Sele kukamatwa na Jeshi la Polisi, taarifa hii ikufikie mtu wangu huko Morogoro August 31 2016 taarifa zilisambaa kuwa msanii huyu alikamatwa kwa kosa la  kuhamasisha watu kufanya mandamano ya ukuta September mosi.

Jana tulipokea taarifa ya kwamba kulikuwa na watu pale maeneo ya msamvu wakiwa na huyu bwana sele alichokuwa anakifanya yeye ni kuhamasisha hawa watu kuwashauri washiriki kwenye haya maandamano na kuwahidi kuwapa vitu mbalimbali‘
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post