Chris Brown bado anaendelea kukutana na majanga kila kona. Jipya kwa sasa ni kwamba Breezy amenyimwa visa ya kuingia nchini Japan.
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Chris Brown amenyimwa visa ya kuingia nchini huko kutokana na sakata lililotekea nyumbani kwake la kumtishia silaha mwanadada Baylee Curran na kusababisha nyumba yake kuzungukwa na polisi.
Japan imeamua kumzuia Chris asitumbuize katika tamasha lake linalotarajiwa kuanza Septemba 26 hadi 27 jijini Tokyo.
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Chris Brown amenyimwa visa ya kuingia nchini huko kutokana na sakata lililotekea nyumbani kwake la kumtishia silaha mwanadada Baylee Curran na kusababisha nyumba yake kuzungukwa na polisi.
Japan imeamua kumzuia Chris asitumbuize katika tamasha lake linalotarajiwa kuanza Septemba 26 hadi 27 jijini Tokyo.