» » Jerry Muro afungiwa mwaka

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Taarifa zinazozidi kusambaa kwenye mitatandao ya kijaamini ni kwamba, Ofisa Habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro amefungiwa kujihusisha na mambo ya soka kwa mwaka mmoja.

Ripoti zinadai kwamba, uamuzi huo umetolewa leo Juni 7 na kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF).

Kwa mujibu wa barua ya TFF iliyosainiwa Juni 29, 2016 na Katibu Mkuu Mwesigwa Selestine, TFF ilikuwa inamtuhumu Muro kupingana na maamuzi pamoja na kuishambulia TFF kwenye vyombo vya habari.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post