» » TBA yadai deni la Sh3.4 bilioni

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Dar es salaam.  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imesema wapangaji zaidi ya 1,700 kati ya 3,000 katika nyumba za serikali wanadaiwa wastani wa Sh3.4 bilioni.

Kauli hiyo ameitoa leo mbele ya waandishi wa habari, wakati wa usafi wa nyumba za TBA, Mikocheni ikiwa ni sehemu ya kufunga maadhimisho ya Wiki ya Utumishi Umma nchini.

Kwa mujibu wa TBA, tangu Machi mwaka huu deni hilo lilikuwa wastani wa Sh6 bilioni lakini hadi Juni mwaka huu baadhi ya wateja wamelipa Sh 2.6 bilioni.

Mtendaji Mkuu TBA, Elius Mwakalinga amesema ulipaji huo umeanza kuonekana baada ya kutumia nguvu ya kutaka kuwaondoa kwenye makazi hayo.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post