
Winga wa zamani wa kimataifa wa klabu ya Yanga anayetajwa kuwa winga wa muda wote nchini kwa vigezo vya waliomuona, Mzee wetu Abdurahman Lukongo amefariki Dunia mchana huu katika hospitali ya Amana jijini Dar es salaam, alikokuwa akipatiwa matibabu.
Msiba upo nyumbani kwake makutano ya mtaa wa Simba na Kariakoo, Kariakoo jijini Dar es salaam
Inna lillah wainna ila ilaihi raajiuun...
Msiba upo nyumbani kwake makutano ya mtaa wa Simba na Kariakoo, Kariakoo jijini Dar es salaam
Inna lillah wainna ila ilaihi raajiuun...
