» » » TANZIA: MZEE ABDURAHMAN LUKONGO ALIEWAHI KUWA WINGA MACHACHARI WA YANGA AFARIKI DUNIA LEO JIJINI DAR

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Winga wa zamani wa kimataifa wa klabu ya Yanga anayetajwa kuwa winga wa muda wote nchini kwa vigezo vya waliomuona, Mzee wetu Abdurahman Lukongo amefariki Dunia mchana huu katika hospitali ya Amana jijini Dar es salaam, alikokuwa akipatiwa matibabu.

Msiba upo nyumbani kwake makutano ya mtaa wa Simba na Kariakoo, Kariakoo jijini Dar es salaam

Inna lillah wainna ila ilaihi raajiuun...
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post