» » PATRICK KAHEMELE KATIBU MKUU MPYA KLABU YA SIMBA

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Patrick Kahemele anatarajia kuchukua kiti cha katibu mkuu wa klabu ya Simba.

Taarifa za uhakika kutoka ndani ya klabu ya Simba zimeeleza, mazungumzo kati ya Kahemele aliyewahi kufanya kazi na Azam FC na uongozi wa Simba ni kama yamekamilika.


“Naweza kusema mazungumzo kwa sasa ni asilimia tisini na tano, hivyo tuamini atakuwa katibu mkuu mpya,” alisema.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post