» » Kadi za Kieletroniki kwa usafiri wa mwendo kasi kuanza kutolewa leo.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Kadi za kieletroniki kwa ajili ya wasafiri wa mabasi yaendayo haraka katika jiji la Dar es Salaam zitaanza kutolewa leo katika juhudi za kupunguza msongamano wa kununua tiketi za karatasi.
Wauzaji wa tiketi hizo MaxMalipo na Shirika la Usafiri Dar es Salaam UDA kitengo chake cha mradi wa mabasi yaendayo haraka wamesema tiketi hizo za kieletroniki zitauzwa katika vituo vikubwa kwa shilingi elfu tanio na mnunuzi atahitaji kusajil ili hata kama kadi yake itapotea akiba ya fedha iliyokuwa imebaki iingizwe kwenye kadi mpya atakayopewa.
 
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post