» » FAIDA ZA VYAKULA VINAVYOSAIDIA UPATE VITAMIN A MWILINI

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


FAIDA ZA VYAKULA VINAVYOSAIDIA UPATE VITAMIN  A MWILINI
VITAMINI "A" ni miongoni mwa virubisho muhimu sana katika mwili wa binadamu,

(a) Baadhi tu ya kazi zake
1 kulinda chembechembe za damu zisiguswe au kukumbwa na maadui,
2 kuimarisha mifupa,
3 kuyapa nguvu macho (kuona),

(b) dalili za kupungua vitamini "A" mwilini
1 kuhisi baridi hata kama hamna,
2 kudumaa na kulegea kwa mwili,
3 kukosa hamu ya kula,
4 meno kuoza,
5 fizi kuvimba na kuoza,
6 kukomaa kwa ngozi na
7 kukosa hisia za kunusa,kuona na kusikia.

(c) vitamini "A" inapatikana kwenye
1 machungwa yana "v.a. nyingi,
2 karoti mbichi isopikwa,
3 nyanya mbivu usipike,
4 pilipili hoho,
5 tikiti maji,
6 viazi vitamu,
7 embe dodo na
8 matunda yote yawe yameivia mtini sio nyanya unaenda kuiivishia nyumbani.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post