» »Unlabelled » Dayna Nyange adai mastaa wanaotoka na wasanii wenye umri mdogo wengi hufuata mkumbo

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Hitmaker wa ‘Angejua’, Dayna Nyange amedai kuwa mapenzi ya mastaa
 wengi wanaotoka na wasanii wenye umri mdogo yamekuwa kama fashion siku
 hizi huku wengi wao wamekuwa wakifuata mkumbo.
Dayna
 Dayna amesema, “Imekuwa kama fashion sasa hivi na wengine wamekuwa wanakwambia ni mapenzi tu.”
“Sawa kuna mapenzi lakini wengi wao wamekuwa wakifuata mikumbo. Siyo kama wanaume wa rika lao
 wanakuwa hawapo, wapo lakini wanaamua tu kufanya hivyo,” alisema Dayna.
“Wakati mwingine ujana na ustaa unaweza ukafanya kitu ambacho siyo kama ulitaka kufanya ila kwa
 sababu ulishaona kama ukifanya mashabiki watapenda. Binafsi mimi sifikirii wala sitoweza wala kutamani
 kudate na mtu nimemzidi umri,” aliongeza.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post