» » Baadhi waachiwa tuhuma za mauaji msikitini

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Mwanza. Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Ahamed Msangi amesema pamoja na kuwaachia watu ambao hakutaja idadi yao, bado wanafuatilia wengine ambao wanaonekana kuhusika na tukio hilo, bila kutaja idadi ya watu waliochiwa.

“Wapo baadhi walioachiwa, wengine watafikishwa mahakamani wakati wowote baada ya kuona ushahidi una kila aina ya dalili za kuhusika na tukio hilo,’’ amesema Msangi.

Katika mauaji hayo, watu watatu waliuawa kwa kukatwa mapanga wakisali msikitini akiwamo Imamu wa Msikiti huo, Feruz Ismail na wengine wawili na kumjeruhi mtoto wa miaka 13.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post