» » Auawa kwenye fumanizi

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Ahamed Msangi alimtaja aliyeuawa katika tukio la fumanizi kwa jina moja la Idd . 
Mwanza. Mtu mmoja ameuawa katika tukio la fumanizi.

 Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Ahamed Msangi alimtaja aliyeuawa katika tukio la fumanizi kwa jina moja la Idd (35), fundi kinyozi, mkazi wa kijiji cha Kome wilayani Ukerewe.

 Alisema mtu huyo aliuawa kwa kupigwa hadi kufa na watu wenye hasira baada ya kutuhumiwa kufumaniwa akifanya mapenzi na mke wa mmoja wa mwana kijiji.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post