» » Aamka na akuta nyoka kitandani

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Aamka na akuta nyoka kitandani

Australia

Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa ameamua kuingia katika chumba cha kulala.

Mwenye nyumba hiyo Trina Hibberd kutoka eneo la Queenland aliamka siku ya jumatatu na kumuona nyoka huyo mwenye urefu wa mita 5.2 amejipinda katika kitanda chake.

Aliwasha taa ya chumba hicho kabla ya mtaalam wa kushika nyoka Dave Goodwin kuwasli.

Bw Goodwin aliidunga sindano ya kulala nyoka hiyo yenye kilo 40 kabla ya kuiweka katika mkono wake na kuondoka nayo.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post