» »Unlabelled » Magufuli afichua siri ya kula Krismasi Singida

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Monday, December 26, 2016

Singida. Rais John Magufuli amesema sababu ya kuamua kusherehekea Krismasi kwenye Kanisa la Parokia ya Moyo wa Yesu mjini Singida imetokana na rozari aliyopewa na sista wa kanisa hilo ili imsaidie kushinda urais.

Alisema wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita, aliwahi kusali kwenye kanisa hilo na alipokuwa akitoka alikutana na sista mmoja ambaye hamkumbuki jina ambaye alimzawadia rozari na kumuahidi kuwa itamsadia kushinda urais.

Rais Magufuli akiwa na mkewe Janeth, alifichua siri hiyo alipozungumza kwenye ibada ya sherehe hiyo iliyofanyika jana asubuhi kanisani hapo.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post