» » Hakuna mazungumzo kati ya Man United na Pogba

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
 Klabu ya Manchester United inam'mezea mate Paul Pogba lakini hakuna mpango wowote wa kuonyesha kuna mazungumzo ya kumsajili mchezaji huyo yameanza.

Uvumi umekuwepo kuhusu uhamisho wa mchezaji huo wa pauni milioni 100 unaotarajiwa kuvunja rekodi ya dunia,lakini BBC Sport imeambiwa kuwa hakuna mazungumzo yoyote yalioanza kati ya Manchester United na Juventus.

Cha mno ni kwamba Pogba kwa sasa anaichezea timu ya Ufaransa na hangependa kuathiri matayarisho yake ya fainali ya Euro siku ya Jumapili dhidi ya Ureno. 
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post