» »Unlabelled » Mashali Kuagwa Leaders Club Kesho Saa Tano Asubuhi

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Kamati ya mazishi iliyokutana leo na kuongozwa na Japhet Kaseba, Rashid Matumla, Emmanuel Mlundwa, Juma Mbizo na wengine, imefikia uamuzi huo kuwa Mashali ataagwa Leaders na mazishi ni makaburi ya Kinondoni.

Mashali ameuwawa na watu wasiojulikana na bado polisi haijaeleza nini hasa imepata.
Lakini taarifa zinasema alishambuliwa hadi kupasuliwa kichwa katika eneo la Tabata karibu kabisa na Kimara Bonyokwa.

Alikimbizwa katika Hospitai ya Palestina, lakini ikashindikana. Akahamishiwa Muhimbili ambako alipoteza maisha usiku wa kuamkia juzi.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post